Crew member wanne wamefariki duniajumatano ya leo asubuhi (July 2) baada ya ndege ya mizigo waliyokuwa wakisafiri nayo kugonga katika jengo lililoko Utawala, Embakasi.
Ndege hiyo ya mizigo iliyokuwa ikisafirisha mirungi kuelekea Mogadishu ilikuwa na watu watutu, iligomga jengo la biashara lililopo Utawala wakati ilipokuwa ikiondoka katika uwanja wa ndege wa KIA (Kenya International Airport)
Jengo lililogongwa na ndege hiyo halikuwa na watu kwasababu ilikuwa ni mapema sana, ambapo Chief Police Benson Kibui amethibitisha ndege hiyo kunyanyuka mida ya saa kumi za alfajiri.
Mpiga picha aliekuwa katika eneo la tukio, amesema ndege iligonga jengo hilo lililo na viduka vidogo vidogo kilometa tatu kutoka airport
watu wote wanne waliokuwakatika ndege hiyo wamefariki dunia
No comments:
Post a Comment