Monday, 30 June 2014

Trending tonight: Comment ya Ray C kumtaka Tid kuongea nae yamcharua Myama

Kikubwa kinachoendelea usiku huu, ni majibu aliyoyatoa TID kwa msanii mwenzake na mwanaharakati katika kukomesha matumizi ya madawa ya kulevya Ray C.
Ingawa haijajulikana rasmi ni nini kilicho muudhi Mzee Warioba a.k.a TID, katika comment aliyoiandika Ray C katika moja ya picha zake alizozituma Instagram
"Come lets talk Tid ur the best musician in east Africa pls lets talk"
TID alionekana kukerwa na Comment hiyo na kumpa makavu Ray C kwa kumtusi right under her comment




Sunday, 29 June 2014

Hiki ndicho alichokiandika Diamond kwa Watanzania baada ya kukosa tuzo ya BET

Ikiwa ni dakika chache tu baada ya kutangazwa Davido kuwa mshindi wa tuzo aliyokuwa akiiwania Diamond pia, Diamond amechukua muda wake na kuandika maneno haya kwa watanzania na wote wanao toa sapoti kwake




Davido anyukuwa tuzo iliyokuwa ikiwaniwa pia na Diamond

katika siku ambazo zilikuwa zikisubiriwa kwa hamu sana na watanzania pamoja na Africa kwa ujumla, ni leo ambapo tuzo za BET zinafanyika
Furaha ya watanzania ilianza tangu Diamond Platnumz alipochaguliwa kuwania tuzo hizo katika kipengele cha "Best International Act" ambapo alikuwa akishindana na wasanii wengine akiwemo Davido.


bahati haikuwa ya watanzania kwamara nyingine kama ilivyokuwa katika tuzo za MAMA, na safari hii pia Davido ameondoka na tuzo hiyo .

akionyesha furaha yake kupitia acc yake ya Instagram Davido ameandika



video Teaser: Iyanya atupia video teaser ya wimbo alioshirikishwa na Diamond - Bum Bum

Video Teaser ya wimbo mpya wa Diamond akiwa amemshirikisha Iyanya kutoka Nigeria imeshatoka
Kupitia ukurasa wa Iyanya Instagram alipost video hiyo ambayo imerikodiwa uingereza.
Diamond alifanya collable hiyo na iyanya alivyokuja Bongo na kuimalizia nchini Nigeria lipoenda kwa ajili ya kuzindua wimbo wa kampeni ya kilimo (One Campaign)
tazama video hiyo hapa chini 


Saturday, 28 June 2014

Romantic Cascade Braid


How To :
- Make a dramatic side part on the far left side.
- Beginning at the side part, French braid along the front of the hairline, moving towards the right ear.
- Continue to braid, weaving in more and more hair as your work towards your right ear. Stop braiding just behind the right ear and secure with a dark or clear elastic.
- Take the remaining loose hair and curl 1-2" sections with a large barrel curling iron or a flat iron.* Gently run your fingers through curls to separate.
- To finish the look, wrap curls around bottom of braid to cover the elastic.
- Add a light mist of hairspray. And your done!

    Source : Hair dos: How to create a romantic cascade braided headband with curls

    Styling a Hair Bow Tutorial

    How To :
    - Brush your pretty locks.
    - Make half a pony tail by using a small hair tie.
    - take your pony tail halfway trough the hair tie, to create a 'loop'.
    - Split the loop in half.
    - Grab the leftover piece of hair, and fold it over the middle.
    - Secure with a bobby pin.
    - Make sure that you can't see the bobby pin.
    - Take one of the 'loops' and spread it over the side of your head. Slide a bobby pin through the middle of the loop. Repeat this on the other side.

      Source : Hair Bow DIY

      Quick & Easy Updo Hair Tutorial


      steps :
      Step 1 : Divide hair into three sections, the majority of your hair ending up in the low ponytail at the back of your head.
      Step 2 : Loosely braid the ponytail and secure it at the bottom.
      Step 3 : Tuck the bottom of the braid under the elastic securing the top of the braid, then pin the loop that forms to your head.
      Step 4 : Use the extra hair on the left and right sides of your head to wrap around the braid. You can twist them as much or as little as you like. Secure with more bobby pins.


      Source : Quick And Easy Updo Tutorial

      Friday, 27 June 2014

      Brand New Single: Sanaa Iko Sokoni - Illmatix feat Fid Q

      Illmatix, kundi linalosimamiwa na J mader kutoka Tongwe Record wameachia bonge la Hiphop Exclusive kupitia kipindi cha So So Fresh 
      Sanaa Iko Sokoni ni single yao mpya wakiwa wamemshirikisha Fid Q, sitaki kuongea mengi..sikiliza mwenye hapa chini 



      Exclusive Brand New Video: Unanichora - Ben Pol feat Joh Makini

      Leo ni siku nzuri sana kwa mwanamuziki Ben Pol, ameachia single mpya "Upendo" na video mpya "unanichora" aliyomshirikisha Joe Mkani
      Video imesimamiwa na Director Nisher, ambae amefanya nae kazi kwa mara ya pili, ya kwanza ni pale alipotengeneza pia video ya Jikubali.
      Ben Pol amesema kufanya kwake kazi na Nisher kwa mara ya pili ni kutokana na chemistry aliyonayo kati yake na Nisher, lakini pia amesema Nisher ni mtu ambae bado anajifunza, kwahiyo kuna vitu anaweza kugusa vikashangaza watu, na pia ni mtu ambae anasikiliza pia mteja wake anataka nini, kwa kifupi sio mjuaji.. tazama video hiyo hapa chini 


      Video: Wimbo mpya wa Ben Pol waleta mtafaruku kati ya Adam Mchomvu na Fetty

      Baada ya kuutambulisha wimbo mpya wa Ben Pol "Upendo" exclusive kupitia kipindi cha XXL kinachoendeshwa na B12, Fetty na Adam Mchomvu, kumetokea na ubishani kati ya Adam na Fetty juu ya wimbo huo ambao unamuonekano tofauti na jinsi alivyozoeleka Ben Pol
      Huku Fetty akiusifia na kuona ni wimbo wenye tofauti nzuri ambao una mahadhi ya bolingo na hata kusema ni fusion zinazotakiwa kwa sasa, Adam alionekana kuto kukubaliana nae na Ben Pol na kudai ni wimbo ambao sio mzuri kulinganisha na nyimbo zilizozoeleka kutoka kwa Ben Pol... 
      sikiliza kilichojiri leo hii kati ya watangazaji hao wawili



      Brand New Video: Nitasubiri - Jux

      Msanii mwenye Swag na muonekano wa Trey Song kuanzia sura, mwili mpaka tattoo, Jux , ameachia video ya wimbo wake "Nitasubiri" ulio rikodiwa nchini China.
      Baada ya kuuzinduwa Billcanas wiki kadhaa zilizopita, pata nafasi ya kuutizama hapa



      Brand New Song: Pita Mbele - Kiba Square

      Baada ya kile alichokidai ni kujifunza kuwa baba pamoja na kumuachia nafasi ya kukua ki muziki mdogo wake "Abdu Kiba", Ally kiba amerudi tena kwa ngoma ya kushirikiana na mdogo wake huyo "Pita Mbele"
      Wakiitambulisha rasmi single hiyo leo hii kupiti XXL, alikiba amesema "kuna Ally kiba na kuna Abdu Kiba, lakini Kiba Square ni katika kukata kiu ya mashabiki wengi ambao wamekuwa wakituomba kufanya kazi pamoja, lakini baada ya wiki kadhaa nitatoa wimbo wangu mwenyewe ambao unaitwa Dar-es-salaam" amesema Ally Kiba...sikiliza wimbo huo hapa chini 


      Brand New Single: Ben Pol - Upendo

      Mkali wa R&B Bongo Ben Pol a.k.a Ben Pizeeee, leo amedondosha single mpya "Upendo" aliyoifanya kwa producer Man Walter 
      Ben Pol amesema huu ndio wimbo wake wa kwanza kuandikiwa kuanzia mashairi mpaka melody ya wimbo huo na jamaa anaeitwa Kinye Wynjones. Katika wimbo huu Ben Pol amekuja kitofauti sana na jinsi tulivyomzoea. 

      dizaini kama bolingo flani hivi...msikilize hapo chini na usisahau kuwa leo hii utapata kuona video ya wimbo wake aliofanya na Joe Makini "Unanichora" ikifika saa nne za usiku hapa hapa kwa blog yako


      Thursday, 26 June 2014

      Unapenda Fresh Ice Cream?????? Nelwa's Gelato Tanzania wako kwa ajili yako

      Nelwa's Gelato (Nelwa's Gogo name from Nenelwa) (Gelato Italian word meaning fresh ice cream)... Made in Tanzania with all natural ingredients, famously known for their ; rich chocolate, cookies n' cream, mocha, french vanilla, pistachio, nutella,mint choc chip, strawberry, mango sorbet, lemon sorbet, lemongrass black pepper, coconut, peanut butter you will be spoilt for options.

      The milk-shakes are just refreshing try my fave Mocha Shake, Cookies nutella shake, chocolate shake also you can create your own shake. Specials: waffles and brownies with ice cream of your choice.

      Find them at AK's Cafe SeaCliff & Samora, Chef's pride -Chagga street, Terrace lounge msasani mall.
      Nelwa's is at all major events, call for them on the number above (2nd Picture) to serve special dessert for weddings and birthdays. For only 4,000/= you get to enjoy the best ice cream i have ever had, MilkShakes at 6,000/= Tzs, Specials 10,000/- TZs




      Suarez afungiwa kucheza mechi 9 kwa mpira wa kimataifa na mipira yote kwa miezi minne kwa kitendo cha kumn'gata Giorgio

      Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez amefungiwa mechi tisa na shirikisho la kandanda duniani Fifa baada ya kupatikana na hatia ya kumuuma mlinzi wa timu ya Italia Giorgio Chiellini kwenye mechi yao ya kombe la dunia nchni Brazil.
      Suarez pia amefungiwa kutojihusisha na shughuli yoyote ya kandanda kwa miezi minne na kutozwa faini ya dola laki moja.Kutokana na adhabu hiyo Suarez sasa hatashiriki tena kwenye mechi zilizosalia za kombe la dunia.

      Brand New Single: Simu Ya Mwisho - Kala Jeremiah feat Ney wa Mitego na Mo Music




      Wednesday, 25 June 2014

      Brand New Single: Time For Money - Mapacha

      Mapacha wa Maujanja suplier wamedondosha single yao mpya
      Wimbo unaitwa "Time For Money" wakiwa wamemshirikisha Elizabeth Michael A.K.A Lulu



      Brand New Single: Quick Rocka - Sukido

                                  
      Hii ni ngoma nyingine mpya kutoka kwa Quick Rocka, baada ya kufanya poa na ngoma yake ya Penzi amekuja tena kivingine na
      SUKIDO Producer wa ngoma hii ni Nah Reel studio ni Switch Records...

      Diamond Platnumz aivamia Taarabu...

      Star wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz ambae kwasasa anayo heshima kubwa kwenye Industry ya muziki, kutokana na muziki wake pamoja na kuingia kwenye tuzo za MTV MAMA na BET  leo alikuwa kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds Fm ameuongelea muziki wa Taarabu ambao anaweza kuuimba pia aliwai kuomba na nafasi Jahazi Morden Taarab ya
      kuimba kabla hajawa
      Diamond Platnumz....
      Hii ni video clip inayomuonesha akiimba muziki wa taarabu....

      Wednesday, 4 June 2014

      Break a glow stick and put in clear nail polish

      Break a glow stick and put in clear nail polish..would be awesome at a concert!

      from amazon.com

      Sunday, 1 June 2014

      The Reason for the Silence... such as it is.

      As per usual I begin with an apology - and this the most earnest of those so far: so very sorry for the abruptness and the length (!) of my silence.

      I am in fact, still alive, still working, and most significantly, preparing for fatherhood.

      I do suffer from chronic, low level depression which most often presents itself as a strong desire to be left alone and excessive computer gaming :\ ... yet the main reason for the sudden stop was more particularly two things:

      1/ fear, as I approach the moment/scene in ECONOMOUS that motivated me to start his story in the first place; &

      2/ realising that I had no idea who Miss Swift actually is (since *-SPOILERS AHEAD!-* I want to make her a main character) and not being able to proceed without her being better realised.

      Well, happy day \o/, thanks to my writers' group of Michael Hawke, Ben Morton & Rikki Lambert, I have a much clearer sense of her now (and quite different she is from how I have penned her so far) so proceeding can begin again.

      That said, I am currently in the thick of illustrating a growing list of picture books which have most of my creative professional attention, and what of that is left for writing I am thinking of applying to the other fruit of the WRITERS' GROUP: the continuing story of Europe, the Branden Rose, taking up where FACTOTUM left off. Excitingly (for me, at least) I have a beginning, middle and sense of the end (or a final catalysing moment to work towards), so it now simply awaits for me to take the start I have already and turn it into a finished tale.

      I would like to thank you all for your persistence and Tom Wamstad for his expressed concern (which prompted me to speak up at last). I am still here, a little overwhelmed, but getting there.

      For my next post I shall seek to respond to the comments from the last long ago post, so stay tuned...)


      Beautiful Green Eye Shadow

      How To Do :
      • Step 1 : First fill the lids with a nude base colour.
      • Step 2 : Then with green eyeliner or thin brush, drow a line over crease towards the corner of your eye and connect.
      • Step 3 : Fill the corner in with a darker green.
      • Step 4 : Sweep medium shade from the corner of the eye to the center and blend to create gradient effect.
      • Step 5 : Brush light blue onto the corner of the eye and blend into medium shade.
      • Step 6 : With a thin angled brush; apply black over the top of existing cat eye line. blend into green at the edge.
      • Step 7 : Brush light blue onto the bottom lid, followed by medium green. add black to the outer corner and sweep under the eye, into the center area.
      • Step 8 : Add a touch of yellow to the center of eyelid. line the lid with black eyeliner, continuing into tear duct.
      • Step 9 : Finish by adding two coats of mascara.

      Source : 'Зелень' от Miss Heledore

      Five-Minute Makeup


      How To :
      - Choose a concealer that blends well with your skin and contains moisturizer so it won’t crease under the eye or in eyelids. Apply several dots under the eyes and blend with a concealer brush or sponge.
      - Use a large brush to sweep powder all over your face to set your makeup and create a shine-free, even finish.
      - Use a soft blush brush to sweep blush onto the apples of your cheeks.
      - Starting at the base of your eyelashes, gently wiggle the mascara wand upwards. Repeat.
      - omplete the look with a coat of sheer, pink or peachy gloss.

        Source : Pretty Simple :: FIVE-MINUTE FACE