Wakiitambulisha rasmi single hiyo leo hii kupiti XXL, alikiba amesema "kuna Ally kiba na kuna Abdu Kiba, lakini Kiba Square ni katika kukata kiu ya mashabiki wengi ambao wamekuwa wakituomba kufanya kazi pamoja, lakini baada ya wiki kadhaa nitatoa wimbo wangu mwenyewe ambao unaitwa Dar-es-salaam" amesema Ally Kiba...sikiliza wimbo huo hapa chini

No comments:
Post a Comment