Wednesday, 2 July 2014

Brand New Single: Sio Fair - Baraka Da Prince

Baraka Da Prince, msanii alieingia kwa kasi katika mziki wa Bongo Fleva Tanzania, amerudi na ujio wa pili baada ya kufanya poa na pini lake la kwanza "Jichunge".


Baraka ambae anatoka jiji la Mwanza kwa sasa amekuja na ngoma mpya "Sio Fair" iliyofanyika studio za tetemesha iliyopo Mwanza.
Sio Far imetengenezwa na kusimamiwa na ma producer watatu ambao ni Kid boy, Nusder na Lollypop


No comments:

Post a Comment